Mdau namba moja wa Blog hii ya jamii Salim Malumbo Jr. leo anasheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 4. Baba na Mama yake wanamuombea mtoto wao M/mungu amjalie Afya njema na maisha marefu yenye furaha na mafanikio.Amin
-------------------------------------------------- ----------------
Your Birthday make this day really Special......
just like you !
Happy Birthday.
Ur Daddy
2 comments:
Tunakutakia kila la heri katika maisha yako,m mungu akupe afya njema,busara,ukarimu kama dady wako,TUNAKUPENDA SANA!
Ur Unt Rosebaby n family!
Mmm mwaaaaaaaaaaaaaaaaaa..
happy birthday mdau salimu. tunakutakia maisha mareeeefu na Mungu akulinde na akupe mafanikio na uwe na maisha marefu.
Post a Comment