Natanguliza shukurani
MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI. TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
November 28, 2010
Msaada tutani
Haya tena wadau kuna mdau mwenzenu anaomba Msaada anamtafuta mzee wake anajulikana kwa jina mzee Omari Hamisi anapenda sana kuwa ktk Club ya Red Stars au Simba na Ilala Dar sehemu wanayouzia mitumba kwa mtu yoyote anayemfahamu naomba awasiliane na mimi kwa kupitia namba hii +4917636737351
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22
-
NDUGU,JAMAA, MARAFIKI NA WADAU WA BLOG HII YA JAMII NASIKITIKA KUWATAARIFU YA KUWA NIMEPATWA NA MSIBA WA MAMA YETU MPENDWA BI KHADIJA( NA...
No comments:
Post a Comment