May 14, 2010

HAPPY BIRTHDAY

Mtoto lexis leo anasheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 2

..................................................................................
Kwa niaba ya blog hii tunakutakia mtoto mzuri Lexis Maisha mema, Afya njema na M/mungu akujalie maisha marefu yenye furaha, Amani na Mafanikio.

2 comments:

Anonymous said...

Malumbo? kwani maoni yetu haya kukufurahisha hivi kwamba haukuyapitasha enyewe release hata kama ni moja roho safi.

malumbo´s junior said...

Kumradhi mdau mbona maoni yote nimeyaruhusu sasa maoni gani hayo mnayosema.
Malumbo

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22