May 28, 2012

Uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc na viongozi wa juu wa chadema‏

 Uongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  katika uzinduzi rasmi watawi la Chadema Washington Dc  kwenye meza ya juu wa kwanza kushoto Libe Mwangombe, akifatiwa na Mhe. Peter Msigwa,  Mwenyekiti wa tawi Mhe. Kalley Pandukizi,  Mhe. Zitto Kabwe, na Mhe. Nassari Joshua, Dogo Janja, mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mirage Hall uliopo University Of Bld, Hysattsville, Maryland Nchini Marekani
 Mhe. Leticia Nyerere
  Mhe. Maryam Msabaha
 Baadhi ya wakereketwa wachukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington




Mhe. Zitto Kabwe akitoa hutba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania

Kwa Audio na Video swahilivilla.blogspot.com

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22