January 22, 2013

MSONDO WAMTAMBULISHA KAMBI KWA MBWEBWE‏

Waimbaji wa bendi ya Msondo ngoma wakiwajibika katika onesho lake maalumu la kumtambulisha mwimbaji mpya wa bendi hiyo Othumani Kambi wa pili kulia wengine ni Hassani Moshi kushot Eddo Sanga na Juma Katundu onesho lililofanyika katika ukumbi wa Max Bar Ilala Bungoni

Mashabiki wa bendi ya msondo music wakicheza kwa furaha wakati wa onesho maalumu la kumtambulisha mwimbaji mpya wa bendi hiyo Othumani Kambi

Source: Super D

1 comment:

Alta said...

This is cool!

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22