April 06, 2008

Mahakama ya Manazi




Haya ni majengo ambayo yalitumika kama Mahakamu kuu ya zamani walipohukumiwa manazi baada ya kupoteza Vita kuu ya pili ya dunia ambayo yapo katika mji wa Nürnberg nchini ujerumani.

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22