May 29, 2008

Maombelezi Mchele





Wananchi wa mji wa stockholm wakiandamana kupinga mauaji yanayofanywa na majeshi ya marekani huko Iraq na afghanistan wakati waziri wa mambo ya nchi za nje wa marekani alipotembelea sweden leo mchana.

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22