

Hivi karibuni amekuwa studio akikamilisha project yake mpya ya muziki ambayo itakamilika hivi karibuni.Lakini kuonyesha jinsi ambavyo bado hajajiweka kando na mambo ya muziki, hivi karibuni mnamo tarehe 22 Novemba anatarajiwa kufungua show ya mwanamuziki mwingine wa Bongo Flava, Ali Kiba.Show hiyo itafanyikia jijini Stockholm.
Ali Kiba inasemekana ameweka rekodi ya kuwa mwanamuziki wa kwanza wa muziki wa kizazi kipya kufanya tour ndefu kushinda zote zilizowahi kufanywa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya.Nuru ameahidi kufanya vitu visivyo vya kawaida hiyo tarehe 22 Novemba.Kazi kwenu wakazi wa Sweden na nchi zilizo jirani.
No comments:
Post a Comment