ZANZIBAR INAWALETEA
Tukio la kila mwezi
MADA YA MWEZI HUU NI:
MADA YA MWEZI HUU NI:
Je Tunafanikiwa au kuporomoka kisanaa?
Burudani kutoka Dogo Mfaume, Siza Mazongera, Black Roots, Ziro Kasorobo, Mo H na wengine wengi.
Ukumbi wa Ngome KongweJumapili tarehe 25 Januari
kuanzia saa 9 Alasiri hadi 2 usiku.(Sunday 25th January from 3pm til 8pm)
MAFUNZO YA GRAFFITI PAMOJA NA HENNA KWENYE KANVASI YATATOLEWA
Michuano ya Ma- Emsii, Uchoraji pamoja na Mjadala juu ya mada ya mwezi
MAFUNZO YA GRAFFITI PAMOJA NA HENNA KWENYE KANVASI YATATOLEWA
Michuano ya Ma- Emsii, Uchoraji pamoja na Mjadala juu ya mada ya mwezi
KIINGILIO NI BURE NA WOTE MNAKARIBISHWA
No comments:
Post a Comment