Mapinduzi ya amani, kuanguka kwa ukuta wa Berlin, kuungana tena! Makala maalum ''Nchi iliyogawika - Nchi iliyoungana'' inaonyesha njia ya kuelekea Umoja wa Ujerumani na kuonyesha vipi njia ilivyo tangu kuugana kwa Ujerumani. Mwaka huu wa 2009 unakaribia mwaka wa ishirini tangu kuanguka kwa ukuta wa Berlin. Mwaka ujao wa 2010 Wajerumani watasherehekea miaka 20 ya kuungana tena kwa Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi. Tovuti ya DW-WORLD.DE itaangazia hadithi za kusisimua za Wajerumani katika sherehe za kukumbuka tukio hilo na kuhadithia juu ya hadithi jumla za kijerumani. Tutatoa maelezo kuhusu maisha ya viongozi wa mapinduzi ya amani katika Ujerumani Mashariki, DDR, kuwaruhusu walioshuhudia kuanguka kwa ukuta wa Berlin watoe ushuhuda wao na kuripoti juu ya washindi na walioshindwa katika njia ya kuelekea umoja wa Ujerumani.
MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI. TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22
-
NDUGU,JAMAA, MARAFIKI NA WADAU WA BLOG HII YA JAMII NASIKITIKA KUWATAARIFU YA KUWA NIMEPATWA NA MSIBA WA MAMA YETU MPENDWA BI KHADIJA( NA...
-
blog hii bado inatengenezwa na unakaribishwa kwa maoni. Pia unakaribishwa kuangalia website yetu mpya http://kilimanjarostars.de/ .
No comments:
Post a Comment