December 03, 2009

RAS NAS ndani ya Sri Lanka


Ras Nas pamoja na kikosi chake wakiwasili Colombo leo (Jumatano) tayari kwa maonyesho matatu miji ya Colombo na Galle, Sri Lanka, wikiendi hii. Ras Nas anawasilisha Norway na Tanzania vile vile!
Toka kushoto Larry Skogheim (besi, Norway), Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi (sauti na ridhim gitaa, Tanzania), Dag Pierre (solo gitaa, Sweden), Chuck Frazier (solo namba mbili, Houston Texas), Uriel Seri (drums, Ivory Coast), Karlos Rotzen (kinanda, Martinique).

Habari ndiyo hiyo wadau. Asanteni!

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22