August 22, 2010

Dua ya kila siku baada ya kila swalat katika mwezi wa Ramadhan‏

"Ee Mwenyezi Mungu Mtukufu! Msameheve, Mrehemevu, Wewe tu ndiwe Mola Mlezi Asiyefanana na chochote Aonaye Asikiyaye. Huu ni mwezi ambao Umeuadhimisha, Ukautukuza, Ukaupa hesima ya Ukaufadhilisha kuliko miezi yote. Na ndio mwezi ambao Umenifaradhia kuufunga, nao ni mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa mwongozo wa watu, na ishara ziliso wazi za mwongozo na kipambanuzi. Na ukaujaalia usiku wa Laylatul Qadri kuwa katika mwezi huu na Ukaujaalia usiku huo (wa Laylatul Qadri) kuwa bora kuliko miezi elfu. Ewe Mwenye Kuneemesha Asiyeneemeshwa nineemeshe kwa kuniachilia huru kutoka katika adhabu ya moto pamoja na Utakaowaachilia, na Uniingize peponi wa rehema zako Ewe Mrehemevu wa Wanaorehemu.

شهر رمضان المبارك :" يا عَلِيُّ يا عَظيمُ ، يا غَفُورُ يا رَحيمُ ، أنتَ الرَّبُّ الْعَظيمُ الَّذي لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيءٌ وَ هُوَ السَّميعُ الْبَصيرُ ، وَ هذا شَهْرٌ عَظَّمْتَهُ وَ كَرَّمْتَهْ ، وَ شَرَّفْتَهُ وَ فَضَّلْتَهُ عَلَى الشُّهُورِ ، وَ هُوَ الشَّهْرُ الَّذي فَرَضْتَ صِيامَهُ عَلَيَّ ، وَ هُوَ شَهْرُ رَمَضانَ ، الَّذي أنْزَلْتَ فيهِ الْقُرْآنَ ، هُدىً لِلنّاسِ وَ بَيِّنات مِنَ الْهُدى وَ الْفُرْقانَ ، وَ جَعَلْتَ فيهِ لَيْلَةَ الْقَدْرِ ، وَ جَعَلْتَها خَيْراً مِنْ ألْفِ شَهْر .فَيا ذَا الْمَنِّ وَ لا يُمَنُّ عَلَيْكَ ، مُنَّ عَلَيَّ بِفَكاكِ رَقَبَتي مِنَ النّارِ فيمَنْ تَمُنَّ عَلَيْهِ ، وَ أدْخِلْنِى الْجَنَّةَ بِرَحْمَتِكَ يا اَرْحَمَ الرّاحِمينَ

1 comment:

Anonymous said...

sasa hivi unaonekana umekuwa na unaanza kutuliza mapepe mungu akuzidishie ...amin

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22