August 10, 2011

Mwili Wa Marehemu Luteni Jenerali Mstaafu Mayunga Wawasili Nchini

mjane wa Luteni Jenerali Mstaafu wa JWTZ Juliana Mayunga akifarijiwa na wanafamilia
Afisa wa JWTZ akifunga mlango wa Gari lililobeba jeneza lenye mwili wa luteni jenerali mstaafu, Silas Mayunga kutoka uwanja wa ndege ukonga kuelekea Kambi ya jeshi lugalo.

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22