MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI.
TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
June 04, 2012
YAHAYA ALLY NDOMONDO ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UKATIBU WA SIASA NA UWENEZI TEMEKE
Katibu Msaidizi wa CCM Wilaya ya Temeka Bi. Anastazia Mwonga kulia akimkabidhi fomu ya kugombea Ukatibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya ya Temeke kwa Yahaya Ndomondo Dar es salaam jana kwa ajili ya kinyanganyiro cha uchaguzi Mkuu wa chama hicho
No comments:
Post a Comment