October 29, 2012

J4 AAGA CLUB YA UKAPELA



MDAU J4 NA MAI WIFE WAKE  BI TATJANA



 CHANDA CHEMA UVISHWA PETE HAPA NDIO ILIKUWA WAKATI UMEWADIA


 BIBI NA BWANA HARUSI WAKIMWAGA WINO KUASHIRIA KUWA KITU KIMOJA MPAKA HAPO MOLA ATAKAPOWATENGANISHA
WADAU WA AUGSBURG KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAHARUSI

Mdau J4  leo siku ya J3 tarehe 29.10.12 ameamua rasmi kuihama Club ya ukapela na kuamua kufunga pingu za maisha na Bi Tatjana mbele ya msajili mkuu  wa ndoa wa jiji la Augsburg 

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22