MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI. TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
November 14, 2012
TANZANIA YAPATA SHUJAA MPYA
Urban Pulse na Freddy Macha wanakuletea kidokezo ("trailer") cha filamu kuhusu shujaa mpya wa Kitanzania Wilfred Moshi, aliyejitolea kwa hali na mali kuupanda Mlima Everest. Ameweka rekodi ya kuwa Mwafrika wa tatu na Mtanzania wa kwanza kupanda mlima mrefu kushinda yote duniani...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22
-
The mosque's tower will become a new landmark in Algiers Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais...
1 comment:
Hii sauti Fredy Macha inachekesha anasema heti wafrika hatuna tabia ya kupanda milima wakati anajua wachaga wenzie walikua wanakwea mlima wa kilimanjaro bila wasi wasi
Post a Comment