February 20, 2013

FURSA KWA WATANZANIA WALIOKO UGHAIBUNI KUPANGA NYUMBA YA MUDA MFUPI KWA BEI NAFUU

Muonekano kwa nje
Bathroom
 Living room
 Bedroom
 Kitchen
 Livingroom
Suluhisho kwa waTanzania wenye makazi ya kudumu ughaibuni wenye nia ya kuja kutembea Tanzania kwa ndugu zao na wanapenda kukaa kwenye makazi yao wenyewe na familia zao au kwa watanzania walioko nje ya mkoa wa Dar es salaam wanaopenda kuja DSM kwa muda
4T TARVEN inaruhusu wapangaji wa muda mfupi katika nyumba ambayo ina vyumba vitatu vyote fitted with AC, mengine ni hot water heater, Flat screen,nyumba ina unlimited supply of water, kuna generator incase of power failure na vyombo vya ndani (fridge, gas cookers etc )kwa ajili ya kujihudumia; usafiri toka airport ni bure kama unabook kwa siku 7 na kuendelea; ulinzi masaa 24
nyumba ipo Mbezi Louis off Morogoro Road , 
kwa mawasiliano na  booking. 
thetarvenfourt@yahoo.com 
 Simu +255784312199

2 comments:

Anonymous said...

asante sana kaka

Anonymous said...

haya. tuchanganyie kiswahili na kiingereza. soon utachanganya na kidoich :)

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22