MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI. TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
June 01, 2008
Kilimanjaro FC stockholm
Hicho hapo juu ndio kikosi kamili cha timu ya mpira ya wabongo wanaoishi mjini stockholm wakiwa na mashabiki wao hapo picha ya chini baada ya kuwachapa jirani zetu wa uganda kwa mabao 11-0 pambano ambalo lilifanyika jana jioni hapo Stockholm. Ongera vijana endelezeni libeneke kama kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22
-
NDUGU,JAMAA, MARAFIKI NA WADAU WA BLOG HII YA JAMII NASIKITIKA KUWATAARIFU YA KUWA NIMEPATWA NA MSIBA WA MAMA YETU MPENDWA BI KHADIJA( NA...
-
blog hii bado inatengenezwa na unakaribishwa kwa maoni. Pia unakaribishwa kuangalia website yetu mpya http://kilimanjarostars.de/ .
1 comment:
Baab Kubwa inapendeza sana mkuu.
Post a Comment