October 18, 2008

Dada Anna na Sele Wameremeta

Dada Annanorah
Mama na Mwana Kamaldin
Baba Mama na Mwana
Bwana Harusi akimwaga wino kudhibitisha ndoa yake
Bibi harusi naye akimwaga wino mbele ya mashuhuda

Siku ya tarehe 08.08.08 ni siku ambayo haitasahauliwa kati ya bwana Seleman Mbuguni na Bi Annanorah Mwengele walipoamuwa kuachana na ukapera na kuingia katika maisha mapya kama mume na mke.

No comments:

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22