
Bila shaka mmiliki wa baiskeli hii alilazimika kutafuta njia nyingine ya usafiri....ilikuwa tabu.

Barabara za masafa marefu zilikuwa ni misururu mirefu ya magari ya kila aina.

Theluji ililazimu kufungwa kwa njia zote mbili za kuruka na kutua ndege kwenye uwanja wa Heathrow.

Huduma ya usafiri wa mabasi ya jiji la London ilisimamishwa kuepusha ajali kutokana na barabara kuwa hazipitiki kwa urahisi

Hivi ndivyo ilivyokuwa katika makazi ya Waziri mkuu wa Uingereza, Downing Street, jijini London.Wafanyakazi walilazimika kufanya kazi usiku kucha kuondoa theluji.

No comments:
Post a Comment