Malumbo´s Junior

MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI. TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.

November 02, 2009

Libeneke la Ras Nas


Ile ziara ya mwanamuziki Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi katika miji sita ya Norway karibu inamalizika. Hapa ni kwenye ukumbi wa MS Innvik, Oslo, ambapo Ras Nas na kikosi chake waliwasha moto mkali usiku wa Halloween; Jumamosi iliyopita. Hivi sasa Ras Nas amejipanga kufyatua CD ya muziki na mashairi "Double Focus". Mashairi yanatoka kwenye kitabu ambacho Nasibu aliandika mwaka 1989 pamoja na shairi moja la Shabaan Roberts “Titi la Mama”. Kwa hiyo hivi sasa kaa chonjo!


Wadau,

Kongoi Productions

www.kongoi.com


at November 02, 2009
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

 Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22

  • Yule K-ONE Feat MAUNDA ZORRO..(Kareem Saaden)
  • German Chancellor Merkel Promotes Business Ties With Algeria
    The mosque's tower will become a new landmark in Algiers Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais...
  • Summer Gospel Konzert am Schloss Saarn, Mülheim an der Ruhr,Germany

Search This Blog

  • Home

Habari zangu

My photo
malumbo´s junior
Augsburg, Bavaria, Germany
Nipo:Augsburg,Germany Tel:+4915216824061 Mail:malumbosjr@hotmail.com
View my complete profile

Blog Archiv

Report Abuse

BONGO

AUGSBURG


website na blog zingine

  • Anna Mpenzi
  • Cars in Tanzania
  • Dj Max munich
  • herikhi
  • kawaida
  • keronyingi
  • matukiouk
  • michuzi
  • michuzijr
  • mjengwa
Webstatistik
Counter

Followers

Simple theme. Powered by Blogger.