Mshindi katika draw ya NITASOMA iliyofanyika leo asubuhi ametoka chuo
kikuu cha Tumaini Iringa.
Witness Lucas mwanafunzi wa mwaka wa pili faculty of Education ameshinda
zawadi ya kila wiki ijulikanayo NITASOMA MOBILE .
Wanafunzi wana shauriwa kushiriki ili kujishindia zawadi hizo mbalimbali
zitakazo wasaidia kujiendeleza kielimu. Kupaitia ujumbe NITASOMA kwenda
15767
Pitia www.nitasoma.com kwa maelezo zaidi.
ELIMU KWANZA
MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI. TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
March 23, 2010
NITASOMA MOBILE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wale wajanja wote tunakutana Leverkusen 24.09.22
-
The mosque's tower will become a new landmark in Algiers Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais...
No comments:
Post a Comment