MANENO MACHAFU NA KASHFA HAZINA NAFASI KATIKA KIWANJA HIKI.
TUNAKARIBISHA MAONI YENYE KUJENGA NA KUELIMISHA JAMII.
April 28, 2008
Bayern kutawazwa mabingwa wa ujerumani
Kikosi kamili cha bayern munich Luca Toni na Frank Ribery wakifurahia ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mabingwa watetezi Stuttgart jana katika kinyanganyiro cha ubingwa wa ujerumani ambapo bayern wanategemewa kuwa mabingwa wa mwaka huu kutokana na kuwa na point 12 zaidi.
No comments:
Post a Comment